Baadhi ya nchi za G20 zakubali kodi ya kidunia kwa matajiri Nchi nne za G20 zaridhia kuwa na kodi kwa matajiri wa dunia nzima ili kuapata fedha za kupambana na majanga mbalimbali yakiwemo ya tabianchi. Jamii, Maafa, Mazingira April 27, 2024 Soma Zaidi
Majaliwa: Vifo vinavyotokana na maafa ya mvua vimevuka 150 April 26, 2024 Biashara, Jamii, Maafa, Uchumi, Usafiri Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa vifo vilivyotokana na Mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini vimefika 155 na kuna majeruhi zaidi ya 230.
GAZA: Kichanga chaokolewa tumboni kwa mama aliyefariki April 22, 2024 Maafa, Uhalifu Kichanga chaokolewa kwa upasuaji wa dharura kumtoa katika tumbo la mama yake aliyefariki utokana na shambulizi na Israel katika mji
Dhoruba yahamisha maelfu ya Guangdong, China April 22, 2024 Maafa Mafuriko yaliyotoea kusini mwa nchi ya China katika jimbo la Guangdong limesababisha kuhama kwa maelfu wa wakaazi wa jimbo hilo
OCHA Somalia: Mvua hizi zitaathiri watu laki 7 nchini April 22, 2024 Jamii, Maafa Ofisi ya Umoja wa Mataifa za kuratibu Masuala ya Kijamii (OCHA) Somalia imatengaza kuwa Mvua za Gu zitaathiri watu zaidi
Wawili wafariki ajali ya malori Njombe April 19, 2024 Maafa, Usafiri Ajali ya Lori la Mbao na lori la Makaa ya Mawe yasabisha vifo vya watu wawili akiwemo dereva wa Lori
Kinana: Maafa ya Mvua yanafanyiwa tathmini na Serikali April 19, 2024 Maafa Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Abrahman Kinana awataka wananchi kuwa wavumilivu kwani serikali inaendelea na tathmini kwa ajili ya ukarabati
Israel yajibu mashambulizi ya Iran April 19, 2024 Maafa Israel yajibu mashambulizi ya Iran kwa kupiga makombora mji unaoaminiwa kuwa ni Ngome ya Nyuklia ya Iran siku ya Ijumaa
Spika Tulia ataka njia bora za kupambana na madhara ya Tabianchi April 16, 2024 Jamii, Maafa Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Umoja wa mabunge duniani ametaka Benki ya Dunia na IMF kuruhusu njia
12 wafariki Congo kwa maporomoko ya udongo April 15, 2024 Jamii, Maafa Zaidi ya wakazi 12 wa eneo la Dibaya Lubwe wamefariki kutokana na maporomoko yaliyotokea Mto Kasai kutokana na Mvua kubwa
Mradi wa Mto Msimbazi “Jangwani” upo mbioni April 12, 2024 Maafa, Mazingira, Usafiri Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi asema "Mradi wa Mto Msimbazi "Jangwani" upo kwenye hatua nzuri mikononi mwa TARURA"
Waziri Mhagama: Ondokeni maeneo hatarishi April 12, 2024 Jamii, Maafa Waziri Jenista Mhagama awataka wananchi wa Halmashauri ya Mlimba kuondoka maeneo hatarishi kwa mafuriko kipindi hiki cha mvua.