Magonjwa yasiyoambukiza yanaiathiri zaidi jamii Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema magonjwa yasiyoambukiza yamekuwa mzigo mkubwa kwa jamii Afya September 14, 2023 Soma Zaidi
Rais Samia ateuliwa mjumbe wa bodi ya ushauri GCA September 14, 2023 Mazingira, Siasa Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassani ameteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya ushauri GCA
Kariakoo wapewa mbinu kuepuka bidhaa feki September 14, 2023 Biashara Wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es salaam wametakiwa kuagiza bidhaa ambazo sio bandia ili kuepuka kuharibu biashara
Taifa Stars wapewe maua yao kwa kufuzu AFCON – DKT.Samia kuwapa shumbe ya shilingi millioni 500 September 13, 2023 Michezo Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imetimiza mafanikio makubwa kwa kufuzu kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika
YARA waongeza virutubisho vya wanyama nchini September 12, 2023 Habari Yara Tanzania waongeza virutubisho vya wanyama, baada ya kuwa amoja na wakulima kwa muda mrefu nchini Tanzania.
Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Dkt Biteko kuhusu mafuta September 7, 2023 Nishati Waziri Mkuu amemuagiza Naibu Waziri Mkuu kuhakikisha anashughulikia suala la mafuta na kutoa taarifa kwa wananchi baada ya wiki moja
Klabu ya Simba yaja na ‘Back to school’ September 5, 2023 Michezo Klabu ya soka ya Simba imekuja na mkakati mpya WA kutengeneza mashabiki shuleni uliopewa jina la 'Back to school'
Mkutano kujadili mabadiliko ya mifumo ya chakula Afrika September 5, 2023 Kilimo Mkutano Mkuu wa Mifumo ya Chakula barani Afrika umeanza rasmi hii Leo huku Tanzania ikiwa ndio mwenyeji wa mkutano huo
Tanzania ina jumla ya maprofesa 226 September 5, 2023 Elimu Hadi kufikia mwaka 2022 Tanzania ilikua na jumla ya maprofesa 226 Kati yao 163 wakiwa ni maprofesa washiriki
Kesi za kubambikiwa bado zipo tendeni haki September 4, 2023 Jamii Raisi wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassani amelitaka jeshi la polisi kuhakikisha linatenda haki kwa wananchi na sio kuwakomoa
Mabadiliko Baraza la Mawaziri ni sawa na mabadiliko ya timu mpira September 4, 2023 Siasa Spika wa Bunge Dkt Tulia Akson amesema Mawaziri ambao hawajachaguliwa wasijali kwani ni jambo la kawaida
Wenye degree na masters wakafundishe shule za msingi August 31, 2023 Elimu Raisi wa awamu ya nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amesema ili kukuza elimu ya Tanzania basi walimu wenye shahada na
Mwanzilishi wa Telegram akamatwa Ufaransa Ulaya August 25, 2024 Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya
Hitilafu ya mfumo wa Crowdstrike yasimamisha dunia July 19, 2024 Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma