Mtandao wa ‘Twitter’ kuja na muonekano mpya Mtandao wa twitter umetangaza kuja na muonekano mpya ambao utakuja na jina jipya la mtandao huo Biashara, Teknolojia July 24, 2023 Soma Zaidi
BRICS yapanga kuishusha dola July 21, 2023 Biashara, Siasa, Uchumi Umoja wa nchi za BRICS umepanga kuja na sarafu mpya ambayo itashindana na dola katika biashara za kimataifa
Sekta ya madini kipaumbele cha bajeti – Biteko July 20, 2023 Madini Waziri wa Madini Mhe Dotto Biteko amesema kuwa serikali itahakikisha kuwa inatatua changamoto zote za sekta ya madini
Serikali yawasilisha pingamizi kesi ya bandari July 20, 2023 Biashara, Uchumi Serikali ya Tanzania imewasilisha pingamizi lake la kuitaka Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya kutupilia mbali kesi ya bandari
Gharama ya mafuta yazidi kupanda Malawi July 20, 2023 Nishati Gharama za usafiri zimepanda mara mbili nchini Malawi huku wasafirishaji hao wakidai kutopata faida kutokana na gharama za mafuta kupanda.
Afrika Kusini inabinafsisha bandari yake July 19, 2023 Biashara, Uchumi Afrika Kusini inabinafsisha bandari yake ya Durban upande wa makontena kwa lengo la kuboresha shughuli na kuongeza ufanisi
Tanzania na Hungary kushirikiana sekta ya elimu July 18, 2023 Biashara, Elimu, Uchumi Serikali ya Tanzania na Hungary zimetia saini makubaliano juu ya ushirikiano wa nchi hizo mbili katika masuala ya elimu
India na UAE zakubaliana kutumia sarafu moja July 18, 2023 Biashara, Uchumi India na Umoja wa Falme za Kiarabu zimekubaliana kufanya biashara kwa kutumia sarafu ya India badala ya dola
Tanzania kulipa TZS bilioni 266 July 18, 2023 Biashara, Uchumi Kituo cha kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji kimeiamuru Tanzania kuzilipa kampuni za uchimbaji wa madini
EWURA imesema kuwa Tanzania ina mafuta ya kutosha July 18, 2023 Biashara Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetoa onyo kwa wote wanao hodhi nishati ya mafuta
Maandamano UVCCM yapigwa ‘stop’ July 17, 2023 Biashara, Siasa, Uchumi Jeshi la polisi nchini limepiga marufuku maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanyika na Umoja wa vijana wa CCM
Apple Kuweka Mabadiliko ya Bei kwenye Programu ya “App Store” kwa Tanzania, Nigeria, Misri, na Uturuki July 13, 2023 Biashara, Habari, Teknolojia Nchi za Tanzania, Misri, Nigeria na Uturuki zimekumbwa na mabadiliko ya bei katika App store kutokana na mabadiliko mbalimbali.