ZINAZOVUMA:

Mwezi umeandama

Bakwata yathibitisha kuonekana kwa mwezi hivyo Ramadhani inatarajiwa kuanza kesho...

Share na:

Baraza kuu la waislamu Tanzania Bakwata kupitia Muft Mkuu Sheikh Abubakar Bin Zubeir amethibitisha kuandama na kuonekana kwa mwezi siku ya leo ya jumatano tarehe 22/3/2023 hivyo Ramadhani inatarajiwa kuanza kesho Alhamisi tarehe 23/3/203.

Aidha Muft amesema wamepokea taarifa za mwezi kuonekana maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi.

Ramadhani Mubarak..

Endelea Kusoma

Anguko la mfumo wa Crowdstrike umesababisha kapuni nyingi duniani kushindwa kutoa huduma

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya