ZINAZOVUMA:

Kocha wa Madrid aahidi ushindi dhidi ya City

Kocha wa klabu ya Real Madrid ameahidi ushindi dhidi ya...
Real Madrid's Italian coach Carlo Ancelotti gives a press conference on the eve of their Spanish League football match against FC Barcelona, at the Ciudad Real Madrid training complex in Valdebebas, outskirts of Madrid, on October 15, 2022. (Photo by PIERRE-PHILIPPE MARCOU / AFP) (Photo by PIERRE-PHILIPPE MARCOU/AFP via Getty Images)

Share na:

Kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amesisitiza kuwa bado wana ari ya kupambana na kupata matokeo yatakayowapeleka kwenye fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Usiku wa leo Manchester City watakuwa wenyeji wa Madrid kwenye nusu fainali mkondo wa pili baada ya sare ya bao moja nchini Hispania juma lililopita.

Kocha Ancelotti anasema lengo lake ni kupata mafanikio hivyo yupo tayari kwa changamoto yoyote na leo anatamani kuonesha hilo.

“kama ilivyo kawaida tutajaribu kupata kile kilicho bora kwa timu lakini pia kwa mtu binafsi, ninafikiri tunaweza kupata matokeo mazuri zaidi ya mkondo wa kwanza” alisema Ancellot.

Madrid ndio mabingwa watetezi wa michuano hiyo na wanalisaka taji lao la 15 la michuano hiyo

Endelea Kusoma

Mwanzilishi wa Telegram mwenye asili ya kirusi amekamatwa nchini Ufaransa siku ya

Chaguo la Mhariri

Habari Mpya